• Halmashauri Zimetatikiwa Kuwa na Mkakati Wa Mawasiliano

    Halmashauri Zimetatikiwa Kuwa na Mkakati Wa Mawasiliano0

    Na: Frank Shija – Idara ya Habari –MAELEZO, Singida Halmashauri zote nchini zimetatikiwa kuwa na mkakati wa mawasiliano utakaotumikakufikisha taarifa za utekelezaji wa sshughuli za maendeleo kwa wananchi. Wito huo umetolewa leo Wilayani Mkalama mkoani Singida na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari MAELEZO, Bibi. Zainabu Kawawa  wakati wa ziara ya kutembelea na kujionea changamoto

    READ MORE
  • Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Awataka Maafisa Habari Kuwa na Mawasiliano ya Kimkakati

    Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Awataka Maafisa Habari Kuwa na Mawasiliano ya Kimkakati1

    Frank Mvungi- MAELEZO Maafisa Habari Katika Mkoa wa Mtwara wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili kuimarisha mawasiliano ya Serikali kwa umma. Akizungumza na Ujumbe wa chama cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini  (TAGCO) na Idara ya Habari MAELEZO uliomtembelea ofisini kwake , Katibu Tawala wa Mkoa huo Bw. Alfred Luanda amesema kuwa jukumu la

    READ MORE
  • Waziri Jafo Atoa Maagizo Mazito Kwa Viongozi wa Mikoa na Halmashauri

    Waziri Jafo Atoa Maagizo Mazito Kwa Viongozi wa Mikoa na Halmashauri0

    Na: Lilian Lundo – MAELEZO, Arusha. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo ametoa agizo kwa Ofisi za Mikoa na Halmashauri zote nchini kutenga fedha kwa ajili ya ununuzi wa vifaa kwa vitengo vya Mawasiliano ili viweze kutekeleza majukumu yake. Mhe. Jafo ametoa agizo hilo

    READ MORE