Loading Events

« All Events

  • This event has passed.

KIKAO KAZI CHA MAAFISA HABARI NA MAWASILIANO

March 9, 2020 - March 13, 2020

Wizara ya Habari, Utamaduni,  Sanaa na Michezo,  kwa kushirikiana na Idara ya Habari Maelezo na Chama cha Maafisa Habari Serikalini (TAGCO) wameandaa kikao kazi cha Maafisa Habari, Mawasiliano, Uhusiano na Itifaki wa Wizara, Idara zinazojitegemea, Taasisi, na Wakala wa Serikali (MDAs) kitakachofanyika Mkoani Mwanza kuanzia tarehe 9– 13 Machi 2020.

Details

Start:
March 9, 2020
End:
March 13, 2020
Event Category:

Venue

MUST CONFERENCE
MBEYA, Tanzania, United Republic of
Website:
tagco.go.tz

Organizer

TAGCO