TAGCO na Idara ya Habari- MAELEZO Zawezesha Utatuzi wa Changamoto Kada ya Mawasiliano Serikalini0
- Press Release
- June 29, 2019
Na Frank Mvungi- Dodoma Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini wa Taasisi na Mashirika ya Umma Jijini Dodoma wamekipongeza Chama Cha Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini TAGCO kwa kushirikiana na Idara ya Habari MAELEZO kwa kuendelea kusimamia vyema kada ya Mawasiliano Serikalini. Wakizungumza wakati wa ziara ya ujumbe wa Chama hicho na Idara ya Habari
READ MORE